Friday, November 27, 2009

MAJUKWAA YATINGA TENA

Majukwaa yameshaanza kufanyika kuanzia tarehe 19/11 /2009mpaka 25/1/2009,yamefanyika sehemu mbalimbali kama vile Kisarawe ,Kiteto,Mbeya,Njombe.zifuatazo ni kero na mapendekezo za hizo sehemu.
KERO MBALIMBALI ZINAZOWAKABILI VIJANA NA JINSI YA
KUZITATUA.

Katika upande huu wa kujadili kero au changamoto mbalimbali zinazo wakabili , vijana walitoa kero mbalimbali kama ifuatavyo
1 Kukosa masoko ya bidhaa wanazozalisha
2 Kukosa mikopo
3 Dhamana na riba kubwa kwenye taasisi za fedha
4 Ukosefu wa elimu ya ujarisiliamali
5 Urasimu wa kupata maeneo ya kuendesha biashara zao
6 Ukosefu wa ajira.
7 Dawa za kulevya

Mjadala uliendeshwa kwa kuwapa washiriki nafasi za kujadili kila kero kwa kina na kujaribu kuto mapendekezo ya nini kifanyike ili kupunguza changamoto hizo kama kikwazo cha kutoendelea kujikwamua kimaisha.



Kukosa masoko
Vijana wengi ambao wanaojishuhulisha na uzalishaji bidhaa wamelalamika kukosa masoko ya bidhaa zao, washiriki ambao wanajihusisha na shughuli za utengenezaji wa mifuko ya tinga tinga waliomba serekali iweke tarabu nzuri zinazowawezesha kupata masoko ndani na nje ya nchi na kutoza ushuru mkubwa kwa bidha ziingizwazo nchini ili kulinda soko la ndani na kupunguza ushindani kwenye soko la ndani.
Kukosa mikopo
Kutokana na vijana wengi kutoaminika , taasiza za fedha pia husita kutoa mikopo mikubwa kwa vijana wakopaji kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo, uwezo mdogo wa kuaandaa michanganuo ya biashara, mmda wa kufanya marejesho kuwa mdogo kabla ya kupata faida, pia na riba kuwa kubwa kwenye taasisa za kuweka na kukopa fedha, SACCOS.
Ukosefu wa elimu ya ujarisiliamali
Vijana wengi ambao hawapo kwenye mfumo usio rasmi walipendekeza kupatiwa elimu ya ujasiriamali ili waweze kuendesha biashara zao kwa ufasaha na kuweza kuandika michanganuo wakati wa kuomba mikopo, kulipa kodi, na kujua umuhimu wa kurejesha marejesho kwa wakati.


KITETO KERO
1.kukosa fursa ya kotoa kero zetu
2.kutopewa vipaumbele vya nafasi za kufanyia biashara
3.masharti magumu ya kupata mikopo
4.umilikishwaji mbovu wa ardhi
5.kukosa elimu ya ujasiriamali



MAPENDEKEZO
1.ushiriki na ushirikishwaji wa vijana katika ngazi mbalimbali za maamuzi 2.serikali kutenga maeneo ya biashara kwa ajili ya vijana
3.serikali itoe mikopo yenye masharti nafuu na kuwe na vyanzo mbadala vya mikopo.
Vijana kupewa nafasi za kuunda vikundi.
4.serikali itambue umuhimu wavijana kumiliki ardhi katika kila wilaya
kuwepo na na mgawanyo wa maeneo ya ardhi kati ya wafugaji na wakulima ili kuepusha migororo ya ardhi.
5.vijana kupewa mikopo ya matrekta kwa kupitia jukwaa la vijana
6.kupatiwa elimu ya ujasiriamali na vyuo vya ufundi

MBEYA KERO
1.Ukosefu wa ajira kwa vijana
2.ukosefu wa mitaji
3.ushirikishwaji mdogo wa vijana katika shughuli za maendeleo na ngazi mbalimbali za maamuzi
4.ukosefu wa elimu uzalishaji mali
5.ukosefu wa miundo mbinu
6.kunyanyaswa kwa wajasiriamali wadogowadogo
MAPENDEKEZO
1.Kupanua wigo wa ajira kwa vijana na kujiendeleza katika elimu
2.kuanzisha vikundi vya vijana na kushirikiana na serikali za mitaa ili kupata mikopo katika ngazi husika
3.kushiriki na kushirikishwa katika ngazi mbalimbali za maamuzi
4.Elimu ya uzalishaji mali uwafikie vijana moja kwa moja
5.Barabara zijengwe kuweza kusaidia masoko, ya ndaya eneo na nje ya eneo
6.Elimu ya uzalishaji mali uwafikie vijana moja kwa moja



KISARAWE KERO
1.Ukosefu wa maji
2.Ukosefu wa ajira kwa vijana3.Huduma duni za afya
4.Ukosefu wa viwanja vya michezo bora.vifaa na waalimu
5.Miundo mbinu duni ya bara bara
6.ukosefu wa elimu bora
7.ukosefu wa pembejeo


MAPENDEKEZO
1.Kuweka mipango mizuri ya upatikanaji wa maji kwa kufungiwa machine bora, uzembe wa viongozi na ufisadi ukomeshwe
2.Kuongezwe nafasi za ajira na kuendeleza ubunifu kwa ajili ya kujiajiri
3.Vijengwe vituo vya afya na vilivyopo viboreshwe
4.Yatengwe maeneo maalumu kwa ajili ya michezo, viletwe vifaa vya michezo na walimu wamichezo
5.Wawekezaji wakalibishwe na kupewa masharti nafuu ili wawekeze ndani ya wilaya ya kisarawe
6.Vijana wawezeshwe na kupatiwa pembejeo za kilimo

NJOMBE KERO
1.Vijana wa kike hawapati fursa ya kurudi shule baada ya kujifungua
2.fursa za kujiajiri ama kuajirika ziko finyu
3ukosefu wa stadi za masoko ambayo inapelekewa vijana kushindwa kutabiri mwelekeo wa masoko.
4ushiriki na ushirikishwaji wa vijana katika ngazi mbalimbali za maamuzi ni mdogo
5.huduma zilizonyingi ambazo zimekuwa hazina ukaribu na vijana katika kutoa ushauri kwa vijana juu ya afya
6.upatikanaji wa habari kati ya serikali na vijana
7.ukosefu wa maeneo ya wazi yaliyotengwa kwa ajili ya michezo na burudani
8.Mmomonyoko wa madili, utamaduni kwa vijana ukilinganisha na historia ya wakazi wa njombe kutokana na mapokeo hasi ya utamaduni.
9.Vijana kukosa elimu ya jinsi ya kutumia mikopo, elimu ya biashara ujasilrimali na mashariti magumu ya mikopo.
10.Vijana wameachwa pembezoni katika ugawaji wa pembejeo za kilimo.
11Ukosefu wa taarifa juu ya elimu ya vvu na ukimwi, elimu ya uzazi na stadi za maisha, elimu juu ya vvu na ukimwi itolewe kwa vijana maana hakuna wanaotoa elimu hiyo.
12.Upatikanaji/mgawanyo wa aridh kwa matumizi ya kilimo ni changamoto kwa kijana.


MAPENDEKEZO
1.Kutambua fursa zilizopo ,/ kupata elimu
2.Serikali na mashirika binafsi yaangalie tatizo hili na kuju ni jinsi gani wanaweza kusaidia vijana
3.Serikali iboreshe miundo mbinu ili kurahisisha usafirishaji wa bidhaa kutoka mashambani hadi kwenye masoko
4.kijana awe tayari kushiriki katika kutoa muuongozo na mawazo
5.Elimu itolewe kwa wafanya kazi juu ya kuhudumia vijana
6.Vijana washiriki katika vikao na mikutano ya vijiji
7.Serikali iruhusu maeneo yaliyo wazi na yasio na kazi yatumiwe kwa vijana
8.Elimu ya ukimwi iongezwe kwa vijana ( washa , mihadhara, midahalo ya kujadili juu ya ukimwi)
9Vijana kupata elimu ya ujasiriamali katika ngazi zote ili kupata ajira
10.vijana wapewe vipaumbele katika kupata misaada hiyo ( serikali kuu na Halmashauri)
11.Elimu ya ukimwi iongezwe kwa vijana ( washa , mihadhara, midahalo ya kujadili juu ya ukimwi)
12.Serikali iruhusu maeneo yaliyo wazi na yasio na kazi yatumiwe kwa vijana

Tuesday, November 10, 2009

TYC MAENDELEO YA VIJANA NEWS LETTER!

November-December


Inside This Issue
1 Lets get informed
2 Going global
3 Majukwaa Manual
4 TYC in collaboration with Sahringonet
5 Current events
6 Youth opportunities
7 Entrepreneurship yields changes

8 Story




LETS GET INFORMED
Welcome to the third issue of our newsletter. TYC informs you that in order to keep you in touch or update it has started producing a newsletter called Maendeleo ya vijana newsletter which will be produced on monthly basis. The newsletter keeps you informed with issues affecting youth and also update with some of the events that are going on and also some of the opportunities that exist for youth. We would be grateful if you have any piece of material or any activity you are currently doing that you would like other people to know about or need any support we can feature you in the next issue of our newsletter. If they are opportunities for youth you can inform us and we will manage to reach out to other youth around the country. Let’s keep each other informed and let’s build each other as youth. Youth are the leaders of today and tomorrow.

GOING GLOBAL
Global exchange Tanzania participants travel to United Kingdom for a period of three months. Nine youth volunteers were chosen from nine regions in Tanzania to face the challenge of working with other people in UK who have different social, educational and economic backgrounds. Global exchange program is a six months program which gives young people from different countries a unique opportunity to work together, to develop and share valuable skills and to make a practical contribution where it is needed in local communities. The theme for global exchange Tanzania this year is Youth Health Employability. Youth will stay for a period of three months in UK. The participants will be back in Tanzania January where they will partner with youth from UK and continue working for a period of three months.

MAJUKWAA MANUAL
Currently TYC staff is busy preparing a manual which will be used to coordinate the activities of the Jukwaa. All the Majukwaa will be guided by one manual. The manual informs you about Majukwaa how to run them and some of the roles that all the stake holders are responsible for. The manual will make the running of Majukwaa easier and each stakeholder will understand each role and where they fit in the jukwaa. The manual will be in two versions Kiswahili and English. It will be ready for use in the month of November.

TYC in collaboration with Sahringonet
TYC in collaboration with Sahringonet organized a stand up and take action campaign, which the idea was rooted, from the Millennium Development Goals. The idea came from the declaration, which was made in 2000 in which developed and developing countries made a promise that by 2015 they will have eradicated extreme poverty in the world. The campaign main aim was to remind the government on the promises they made so that they act.


Youth from Tabora and primary school actively participated in this campaign. They believe that by standing up together they will manage to act and they will be listened to.

Current events
DOCUMENTARY FILMS: TYC is inviting all youth to come and watch documentary film movies on Friday at 2pm. The film session cover issues of social development in Africa. The session keeps you informed with issues affecting youth and also it’s an opportunity to meet other youth and share ideas on how to develop oneself. For more information you can visit our office and to be one of the participants one have to register. Every one is invited to come and join.

YOUTH OPPORTUNITIES

HUCAFO: Supporting orphaned children with educational resources like stationeries, school uniforms and other school necessities. Currently Hucafo is supporting 25 children.

FDB: Provides non-formal education to out of school children who didn’t go through formal education. FDB has received funds to build a centre for orphaned children to provide accommodation.

FIC TRAINING: There will be training of TYC staff and other youth on team building from the 4th to 6 th November.

MS Tanzania gets into partnership with TYC in which the partnership involves support and establishment of four additional Majukwaa.

Entreprenship training yields change
Getting young people involved and encouraging them to start their own business and equipping them with the knowledge and skills contribute to their own personal development and to the nation as a whole. Competence in what one does is important. In September 2008 TYC introduced different courses within the training center. Entrepreneurship is one of the courses that were introduced. Entrepreneurship training provides young people with information and creativity on starting their own business. TYC and Ms Tanzania in June 2009 collaborated and carried out a mini research to see how training has impacted youth lives and some of the challenges they face.
BERNARD NELSON: THE BRAIN IS MY CAPITAL
Bernard is 25 years old and operates a small business. He heard about entrepreneurship training from a friend and he joined the course so as to gain knowledge. From the training he is now able to make a business plan knows how to manage finances, he has managed to change his goals. Before doing the training when placing a tender he demanded less money now he has learned to tender for more and bargain. He believes that the brain is his capital.
Amina Rashida is 37 years old and married. She has a stall in Makumbusho selling cultural materials. She joined a course in entrepreneurship training so as learn more. From the training she is now able to make her own business plan and have learned to keep track of records and her profits also have increased. The business has also led to her personal improvement as she is able to pay for her children school fees. She is now confident that she doesn’t have to depend on her husband for everything.













Do you believe that Your Success depends on being yourself and believing in oneself.

Hi friends!

It’s a long time since we met. Your success depends on being your self and believing in your self

“How can I do it, how can I succeed in doing this or that and how can I afford it” These are questions asked by American business man Robert Kiyosaki. Many of us fail because we don’t know that believing in ourselves is as important as being ourselves. Being ourselves means being true to who we are, believing in our abilities, doing things in our own styles adding needed efforts. Trying to reach our destiny might be good but doing and not saying I am trying is best, every achievement is vital no matter how little it is. We fail because we fear to do things and take decisions. Never fear just get out and do it, be true to yourself and do what you can do to your level best. Don’t look at what others will say or think but come out and do what you can do to your level best. Be yourself and believe in you self, do it in your own way and your style, don’t forget to learn from your so called mistakes they are not mistakes but stepping stones.


COMMENTS AND SUGGESTIONS
For more news about TYC visit our website at www.tyctz.org or visit our office in Kijitonyama located in Misikitini Street opposite the big Mosque.
For comments and suggestion email us at. enews@tyctz.org We would like to hear from you.