
Safari ikaamia na Mtwara mjini!
Hapa Vijana wa Mtwara wakisikiliza kwa umakini
mada zilizokuwa zinawasilishwa na mwezeshaji!

Pia vijana walikuwa na shughuli nyingi wakati wa majukwaa kwani pia walikuwa wakipewa kazi za makundi na kutakiwa kujadili masuala mbalimbali yanayowasibu wao kama vijana kutoka Mtwara mjini!
No comments:
Post a Comment