Up to know the Tanzania Youth Coalition (TYC) has been able to start and organise about 9 distict platform all over Tanzania From Lindi, Ruangwa, Masasi, Mtwara urban, Kiteto, Loliondo, Arusha Urban to Zanzibar and soon we will also start youth platform in the district of Mbeya, Iringa and Morogoro, where by in these Platform about 100 youth from these are meets together with some officials from the Local Government Authority so as they could discuss, inform one another and share views with the local officials as a way of making sure that, what happens in their area is well known by the community that surrounds. These meetings are held Quartey in a year that to mean the meetings are held after every three months from January, March, June and September.
Hongera kwa majukwaa yaliyoanza na yanayoendelea kwani baada ya majukwaa kufanyika hapo mwezi wa nne na wa tano, majukwaa awamu ya tatu yanakuja mnamo mwezi wa sita ikiwa ni katika kufuata kalenda ya mpango mzunguko ya serikali za mitaa. Kalenda hiyo imeainisha kukaa kwa vikao vinne vya msingi kwa mwaka kuanzia ngazi ya serikali ya mtaa, ngazi ya wilaya, ngazi ya Halmashauri (Mkoa) na ngazi ya mwisho ni ngazi ya utekelezaji wa yote yaliyokubaliwa katika ngazi zote hapo kabla.
Awamu hii vijana watakutana na kujadili jinsi gani ya kushawishi na kupenyeza mawazo yao katika ngazi ya halmashauri ikiwa ni kabla ya bunge la bajet kukaa hapo baadae! Wadau mnakaribishwa kwa maoni na kwa wale wenye mawazo ya nini wanashauri kipelekwe kwa vijana ikiwa ni katika kujengeana uwezo na kufanya nchi yetu iweze kupiga hatua wanakaribishwa kupitia barua pepe info@tyctz.org na tycoalition@yahoo.com,
.............................Vijana tukiwezeshwa tunaweza.....................................................
No comments:
Post a Comment