Saturday, May 23, 2009

Mijadala ikawa inaendelea


Hapa tunaona jinsi vijana walivyokuwa wakishiriki katika jukwaa la vijana masasi na pia kama unavyoweza kuona katika picha ya kwanza mmoja kati ya vijana akiwaelezea vijana washiriki jinsi gani kama wakimpendekeza kuwa mwakilishi wao katika kamati ya Jukwaa ataweza kuwasaidia vijana wengine kupeleka mawazo yao mbele!

No comments: