Wawezeshaji kutoka Muungano wa mashirika ya Vijana yasiyokuwa ya Vijana Tanzania (TYC) warudi na kupiga msumari majukwaa ya Vijana yaliyoko Katika Mikoa ya Arusha na Manyara yaani Wilaya za Arusha Mjini, Kiteto na Loliondo. Katika kuhakikisha Vijana wa maeneo hayo wanakuwa na uelewa wa kutosha juu Sera ya maendeleo ya Vijana na Mpango kazi wa ajira kwa maendeleo ya vijana Tanzania na Mpango Mzunguko (Planning cycle) wa serikali za mitaa! Katika kuwaanda na raundi ya pili ya majukwaa hapo mwezi wa sita (6) mwaka huu!
No comments:
Post a Comment