Tuesday, January 27, 2009

KARIBUNI

Tanzania Youth Coalition (TYC) pamoja na wabia wake wa majukwaa inawaletea njia rahisi ya kupata taarifa kupitia mtandao. Hii itasaidia kwa wale wote wasioweza kuhudhuria vikao vya majukwaa kupata taarifa kirahisi na kuweza kutoa maoni juu ya yaliyojili katika majukwaa mbalimbali!

Kaa mkao wa kula!

No comments: